Wananchi Kisiwani Zanzibar wakiwa katika harakati za maandalizi ya bidhaa kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Iddi Fitry inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki ijayo baada ya kukamilika mwezi Mtukifu wa Ramadhan uneomalizika kumbi la mwisho wiki ijayo.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment