Wananchi Kisiwani Zanzibar wakiwa katika harakati za maandalizi ya bidhaa kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Iddi Fitry inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki ijayo baada ya kukamilika mwezi Mtukifu wa Ramadhan uneomalizika kumbi la mwisho wiki ijayo.
POSITIVE COOKER WACHOCHEA MATUMIZI YA MAJIKO JANJA YANAYOTUMIA UMEME KUPIKIA
-
*Na.Mwandishi Wetu*
*KAMPUNI ya Positive Cooker imeunga mkono juhudi za Serikali za kuondoa
matumizi ya nishati chafu ya kupikia kwa kuendesha kampeni...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment