Wananchi Kisiwani Zanzibar wakiwa katika harakati za maandalizi ya bidhaa kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu ya Iddi Fitry inayotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki ijayo baada ya kukamilika mwezi Mtukifu wa Ramadhan uneomalizika kumbi la mwisho wiki ijayo.
ZAIDI YA WAGENI 140 KUTOKA MATAIFA MBALIMBALI WATEMBELEA HIFADHI YA KILWA
KISIWANI
-
Na Mwandishi Wetu, Lindi
HIFADHI ya Urithi wa Utamaduni wa Dunia ya Magofu ya Kale ya Kilwa Kisiwani
na Songo Mnara wilayani Kilwa imeendelea kuwa kivu...
43 minutes ago





No comments:
Post a Comment