"Leo siku ya tarehe 9 Julai 2018, Ujumbe Maalum wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ulishirika katika Sherehe rasmi ya uwekaji wa mkuku ( _Keel Laying Ceremony)_ wa meli mpya ya mafuta huko katika _Shipyard_ ya Kampuni ya DAMEN ya Uholanzi ambayo ipo katika Mji wa *Yichang* kwenye Jimbo la *Hubei* nchini **China* . Ujenzi wa Meli hiyo ambao umeanza kwa kukatwa vyuma na kuviunganisha na kuwekwa mkuku unategemea kumaliza katika mwezi wa *June 2019*".
"Meli hiyo mpya itakuwa na uwezo wa kuchukuwa tani *3,500* za mafuta ya aina ya __Diesel, Petrol, Kerosene na Jet A1_ na inategemewa kuja kuongeza nguvu kwa kusambaza mafuta katika bandari za Mwambao wa East Afrika kuchukuwa nafasi ya MT Ukombozi iliyojengwa na Serikali 1980 hujo Japan.
Ujumbe huo wa Serikali uliongozwa na Mh Khalid Moh'd (Waziri wa Fedha na Mipango) akifuatana na Dk Sira Ubwa Mamboya (Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji pamoja na Mh Said Hassan (Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar). Wengine walioshiriki ni Nd. Juma Reli (Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango), Nd. Khamis Mussa (Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango) na Nd. Mustafa Jumbe (Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji) pamoja na Nd. Salum Ahmada (Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Meli Zanzibar)
Aidha wengine waliohudhuria ni Mh. Mbelwa Kairuki (Balozi wa Tanzania nchini China akifuata na Nd. Lusekelo S. Gwassa kutoka Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini China
Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- VISA INTERNATIONAL YAZINDUA TAWI TANZANIANa Mwandishi wetu 16.07.2025DAR ES SALAAM
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Dar es Salaam. 28-10-2025 Tanzania Bloggers Network (TBN) inatoa pongezi za dhati kwa Watanzania wote, wagombea, vyama vya siasa, Tume Huru ...
-
THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) JOB OPPORTUNITIES The State University of Zanzibar (SUZA) is the only public University in...
-
Mtaalamu wa lugha ya Alama Masika Khamis Ali akitoma maelezo kwa Wananchi wa makundi maalumu wakati wa ufungaji wa Mkutano wa Kampeni wa Cha...
-
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Hamad Rashid Mohamed akitowa taarifa ya mwenendo wa maradhi ya Corona Nchini ya kuthibitika kwac Wagonjwa 23 ...
-
Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Njombe Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mkaundi Maaalum Dkt. John Jingu, amewataka...
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe.Hamad Rashid Mohammed akisalimia na Viongozi mbalimbali alipowasili katika viwanj...
-
Kaimu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bw. Bernard Marce...
Home
Ujumbe Maalum wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ukishiriki Sherehe Rasmin ya Uwekaji Mkuku wa Meli Mpya ya Mafuta.
Ujumbe Maalum wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ukishiriki Sherehe Rasmin ya Uwekaji Mkuku wa Meli Mpya ya Mafuta.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) M...4 days ago
-
Elimu : Bajeti za Elimu Zisipuuzwe wakati wa misukosuko ya Kiuchumi na Kisiasa Duniani - Kikwete na Malala Waonya. - Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Malala Yousafzai, wameonya juu ya mwenendo hatarishi duniani wa kupunguza au ku...2 weeks ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl7 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
Hutuba ya Mhe Waziri wa Afya Nd. Mahmoud Thabit Kombo kwa Waandishi wa Habari Katika Maadhimisho ya Siku ya Malaria Dunia Zanzibar, 22...
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...









No comments:
Post a Comment