Habari za Punde

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza La Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi(Gavu)Aongoza Ujumbe wa Zanzibar Katika Kikao na Wataalamu wa Nchi za Falme za Kiarabu(UAE)Hoteli ya Park Hyyat Zanzibar

Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (kushoto)wakiwa wamekutana na Ujumbe wa Wataalamu kutoka Nchi za Falme za Kiarabu Ukiongozwa na Waziri wa Nchi na Ushirikiano wa Kimataifa wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE)Reem Ibrahim Alhashimy wakijadiliana mambo mbalimbali na sekta mbalimbali ambazo wanaweza kusaidia mkutano uliofanyika Hoteli ya Park Hyyat Shangani mjini Zanzibar.
Waziri wa Nchi na Ushirikiano wa Kimataifa wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE)Reem Ibrahim Alhashimy wapili kushoto akizungumza katika mkutano uliowakutanisha  Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi na  Ujumbe wa Wataalamu kutoka Nchi za Falme za Kiarabu kuhusiana na mambo mabalimbali  na sekta mbalimbali ambazo wanaweza kusaidia mkutano uliofanyika Hoteli ya Park Hyyat Shangani mjini Zanzibar.
Waziri wa Nchi na Ushirikiano wa Kimataifa wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE)Reem Ibrahim Alhashimy  akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kumaliza Mkutano   uliowakutanisha Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi na  Ujumbe wa Wataalamu kutoka Nchi za Falme za Kiarabu kuhusiana na mambo mabalimbali  na sekta mbalimbali ambazo wanaweza kusaidia mkutano uliofanyika Hoteli ya Park Hyyat Shangani mjini Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi  akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kumaliza Mkutano uliowakutanisha  Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  na  Ujumbe wa Wataalamu kutoka Nchi za Falme za Kiarabu kuhusiana na mambo mabalimbali  na sekta mbalimbali ambazo wanaweza kusaidia mkutano uliofanyika Hoteli ya Park Hyyat Shangani mjini Zanzibar. 
Kiongozi wa Wajumbe kutoka Falme za kiarabu (UAE)Mshauri wa Waziri wa Nchi Ushirikiano wa Kimataifa Serikali ya Falme za Kiarabu Najla Alkaabi akizungumza katika mkutano  maalum wa  watendaji wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuhusiana na maswala mbalimbali ya miradi ya Serikali katika ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali mazizini Magharibi B Unguja.
Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Juma Ali Juma akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kumalizika kwa  mkutano maalum wa  watendaji wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Ujumbe wa Wataalamu kutoka Falme za kiarabu (UAE)kuhusiana na maswala mbalimbali ya miradi ya Serikali katika ukumbi wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali mazizini Magharibi B Unguja. 
Picha na Yussuf Simai /Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.