Mtandao wa Kijamii Zanzinews.com Unawatakiwa kila la Kheri Waumini Wote wa Dini ya Kiislamu na Wananchi kwa jumla katika kusherehekea Mwaka Mpya wa Kiislam. Inawatakia kila ya Kheri na mafanikio katika mihangaiko ya kujitafutia riziki.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment