Mtandao wa Kijamii Zanzinews.com Unawatakiwa kila la Kheri Waumini Wote wa Dini ya Kiislamu na Wananchi kwa jumla katika kusherehekea Mwaka Mpya wa Kiislam. Inawatakia kila ya Kheri na mafanikio katika mihangaiko ya kujitafutia riziki.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment