Taratibu za Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa jengo la Beit AlJaib Zanzibar ukianza ukarabati wake kwa hatua za mwazo kwa ufungaji wa majukwaa kuzuiya nguzo za jengo hilo na kuzingira nyavu maalum ili kuzuiya kwa wajenzi na wapita njia kupata madhara wakati wa ujenzi huo kama inavyoonekana pichani.
Exim Bank yatoa vitanda kwa Shule ya Jeshi la Polisi-Moshi
-
Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Exim Bank, Stanley Kafu (wa tatu kutoka
kushoto),akikabidhi seti ya vitanda kwa Mkuu wa Shule ya Polisi Tanzania -
Moshi, S...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment