Taratibu za Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa jengo la Beit AlJaib Zanzibar ukianza ukarabati wake kwa hatua za mwazo kwa ufungaji wa majukwaa kuzuiya nguzo za jengo hilo na kuzingira nyavu maalum ili kuzuiya kwa wajenzi na wapita njia kupata madhara wakati wa ujenzi huo kama inavyoonekana pichani.
WAFANYAKAZI MZUMBE WANOLEWA NA TAKUKURU, WANACHUO WAASWA KUZINGATIA MASOMO
-
Mtoa mada na mwanasheria wa Takukuru, Bw. Imani Mizizi akizungumza wakati
wa mafunzo ya juu ya Rushwa mahala pa Kazi kwa wafanyakazi wa Chuo Kikuu
Mzumbe ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment