Taratibu za Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa jengo la Beit AlJaib Zanzibar ukianza ukarabati wake kwa hatua za mwazo kwa ufungaji wa majukwaa kuzuiya nguzo za jengo hilo na kuzingira nyavu maalum ili kuzuiya kwa wajenzi na wapita njia kupata madhara wakati wa ujenzi huo kama inavyoonekana pichani.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
7 hours ago
0 Comments