Habari za Punde

Mafunzo ya Upasuaji wa Vichwa Maji Katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar.

Kiongozi wa  Afya TanzaniaDr. Michael Mpeke akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar kuhusiana na Mkutano wa Mafunzo ya Upasuaji wa Uti wa Mgogo na Vichwa Maji katika Hospitaliu ya Mnazi Mmoja kupitia Kituo cha Neuro Hospital ya Mnazi mmoja Zanzibar. 
          Picha Na Miza Othman – Maelezo Zanzibar.
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid Mohamed akizungumza na  waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar  kuhusu Mkutano wa Mafunzo ya Upasuaji wa Uti wa Mgongo na  Vichwa maji katika kituo cha Neuro Hospitali ya Mnazimmoja Mjini Zanzibar.
 Picha Na Miza Othman – Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.