Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe pamoja
na Mama Maria Nyerere mke wa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ili kuweka
jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Barabara ya Makutano-Nyamuswa-
Sanzate-Nata-Ikoma gate km 135 katika sehemu ya Makutano-Sanzate km 50 katika
sherehe zilizofanyika Butiama mkoani Mara.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Mama Maria
Nyerere mke wa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mara bada ya kuweka jiwe
la msingi mradi wa ujenzi wa Barabara ya Makutano-Nyamuswa- Sanzate-Nata-Ikoma
gate km 135 katika sehemu ya Makutano-Sanzate km 50 katika sherehe
zilizofanyika Butiama mkoani Mara.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wananchi wa Butiama(hawaonekani pichani) kabla ya kuweka jiwe la msingi mradi
wa ujenzi wa Barabara ya Makutano-Nyamuswa- Sanzate-Nata-Ikoma gate km 135
katika sehemu ya Makutano-Sanzate km 50 katika sherehe zilizofanyika Butiama
mkoani Mara.
Kikundi
cha ngoma za asili cha Engubha cha kabila la wakabwa wenyeji wa Butiama mkoani
Mara kikitumbuzia katika sherehe hizo
Mzee Joseph Butiku
akiwa amekaa na Mwanasiasa mklongwe Stephen Wassira pamoja na viogozi wengine
wakifatilia kwa makini hotuba ya Rais Dkt. Magufuli katika sherehe hizo za
uwekaji wa jiwe la msingi Butiama mkoani Mara. Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment