Habari za Punde

IGP AKUTANA NA BALOZI WA KOREA NCHINI

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na  Balozi wa Korea nchini Song, Geum-young wakati balozi huyo alipotembelea Makao makuu ya Polisi Dar es Salaam ambapo walizungumza mambo mbalimbali ya kuimarisha Uhusiano
 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na  Balozi wa Korea nchini Song, Geum-young wakati balozi huyo alipotembelea Makao makuu ya Polisi Dar es Salaam ambapo walizungumza mambo mbalimbali ya kuimarisha Uhusiano

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akimkabidhi jarida la Polisi Balozi wa Korea nchini Song, Geum-young baada ya kufanya mazungumzo ya kuimarisha uhusiano Makao makuu ya Polisi Dar es Salaam. (Picha na Jeshi la Polisi).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.