Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimkabidhi Komputa Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Sekondari ya Fidel Castro Pemba Mwalimu Khamis Adam, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Mfanya biashara Bora kwa kugawa vifaa kwa skuli zilizotoa wanafunzi wa daraja la kwanza kidato cha sita mwaka 2018, hafala iliyofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
Standard Chartered Tanzania Yatoa USD 11,500 Kuendeleza Ukuaji wa
Ujasiriamali
-
Standard Chartered Tanzania imeongeza dhamira yake ya kuunga mkono ubunifu
wa ndani na uwezeshaji wa kiuchumi kwa kutangaza mchango wa USD 11,500 kwa
Ch...
3 hours ago
0 Comments