Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimkabidhi Komputa Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Sekondari ya Fidel Castro Pemba Mwalimu Khamis Adam, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Mfanya biashara Bora kwa kugawa vifaa kwa skuli zilizotoa wanafunzi wa daraja la kwanza kidato cha sita mwaka 2018, hafala iliyofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
Benki ya NBC Yakabidhi Kombe la Ubingwa wa NBC Championship kwa Kengold.
-
Mdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki ya Taifa ya
Biashara (NBC) imekabidhi kombe la ubingwa wa ligi hiyo kwa timu ya Kengold
yen...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment