Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimkabidhi Komputa Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Sekondari ya Fidel Castro Pemba Mwalimu Khamis Adam, ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Mfanya biashara Bora kwa kugawa vifaa kwa skuli zilizotoa wanafunzi wa daraja la kwanza kidato cha sita mwaka 2018, hafala iliyofanyika katika ukumbi wa Makonyo Chake Chake Pemba(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
TFS YAUNGANA NA NCHI SITA KUBORESHA UFUATILIAJI WA HEWA UKAA KUPITIA MITI
ILIYO NJE YA MISITU
-
Salima, Malawi — Tanzania, kupitia Wakala wa Huduma za Misitu (TFS),
imeungana na nchi nyingine za Afrika katika warsha ya kimataifa iliyojadili
mbinu mp...
2 hours ago
0 Comments