Habari za Punde

Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Taifa (UN) Anayeshughulikia Ulinzi na Amani.Jean Pierre Lacroix, Azifariji Familia za Wanajeshi wa Kulinda Amani Nchini Congo Waliofariki Mwaka Jana.Nchini Congo.

Msaidisi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), anaeshughulikia masuala ya Operesheni na ulinzi wa Amani, Jean Pierre Lacroix akikagua gwaride maalum aliloandaliwa wakati alipofika Zanzibar kuzifariji familia za wanajeshi waliuawa na waasi Nchini Congo mwaka jana
Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Omar Fadhil Nondo akizungumza wakati wa ziara ya Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,anaeshughulikia masuala ya Operesheni na ulinzi wa Amani,Mr.Jean Pierre Lacroix, alipofika Zanzibar kuwafariji Wanafamilia waliofiwa na Ndgugu zao wakiwa katika Jeshi la kulinda Amani Nchini Congo mwaka jana.
Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Fadhil Omar Nondo, akizungumza wakati wa ziara ya Mkuu anayeshughulikia Masuala ya Oporewsheni na Ulinzi na Amani Mr.Jean Pierre Lacroix, kulia alipifika Zanzibar kuzifariji Familia za Askari wa Tanzania waliofariki Nchini Congo wakilinda amani.hafla hiyo imefanyika Makao Makuu ya Nyuki Brigedi Migombani Zanzibar. 
Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), anaeshughulikia masuala ya Operesheni,Ulinzi na Amani.Mr. Jean Pierre Lacroix akizungumza na Wanafamilia wa Askari wa JWTZ, alipofika Zanzibar kuwafariji kwa kupoteza ndugu zao katika Jeshi la Kulinda Amani Nchini Congo mwaka jana.
MSAIDIZI wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), anaeshughulikia masuala ya Operesheni na ulinzi wa Amani, Jean Pierre Lacroix (mwenye suti) akisalimiana na baadhi ya wanafamilia ya maaskari waliouwa na waasi Nchini Congo mwaka jana, wakati alipofika Zanzibar na ujumbe wake kuzifariji familia za maaskari hao. Kushoto Brigedia wa Brigedi ya Nyuki, Fadhil Omar Nondo

MSAIDIZI wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), anaeshughulikia masuala ya Operesheni na ulinzi wa Amani, Jean Pierre Lacroix (mwenye suti) akisalimiana na baadhi ya wanafamilia ya maaskari waliouwa na waasi Nchini Congo mwaka jana, wakati alipofika Zanzibar na ujumbe wake kuzifariji familia za maaskari hao. Kushoto Brigedia wa Brigedi ya Nyuki, Fadhil Omar Nondo.

MSAIDIZI wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), anaeshughulikia masuala ya Operesheni na ulinzi wa Amani, Jean Pierre Lacroix (mwenye suti) akisalimiana na baadhi ya wanafamilia ya maaskari waliouwa na waasi Nchini Congo mwaka jana, wakati alipofika Zanzibar na ujumbe wake kuzifariji familia za maaskari hao. Kushoto Brigedia wa Brigedi ya Nyuki, Fadhil Omar Nondo


Brigedia wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Fadhil Omar Nondo akiagana na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, anaeshughulikia masuala ya operesheni na ulinzi wa amani,  Jean Pierre Lacroix baada ya kumaliza ziara yake na ujumbe wake wa kuzifariji familia za wanajeshi waliuawa na waasi Nchini Congo mwaka jana
Picha na Haroub Hussein.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.