NAIBU katibu Mkuu
Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na MIchezo Zanzibar, Amour Hamil Bakari
akiwangoza viongozi wa mabaraza ya Vijana katika kuimba wimbo wa taifa wa
Zanzibar, wakati wa kongamano la 6 kuelekea maadhimisho ya miaka 55 ya Mapinduzi,
huko katika ukumbi wa baraza la mji chake chake
BAADHI ya Vijana
kutoka mabaraza ya Vijana ya mikoa miwili ya Pemba, wakiimba wimbo wa Zanzibar
wakati wa kongamano la 6 kuelekea maadhimosho ya Miaka 55 ya Mpinduzi Matukufu
ya Zanzibar, huko katika ukumbi wa baraza la mji Chake Chake.
NAIBU katibu Mkuu
Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Zanzibar Amour Hamil Bakari,
akizungumza katika kongamano la sita kuelekea maadhimisho ya sherehe za
Mapinduzi Matukufu ya zanzibar kwa mabaraza ya Vijana, huko katika ukumbi wa
baraza la Mji Chake Chake.
MKUU wa Wilaya ya
Kaskazini B Unguja Rajab Ali Rajab, akifungua kongamano la 6 kuelekea
maadhimosho ya Miaka 55 ya Mpinduzi Matukufu ya Zanzibar, huko katika ukumbi wa
baraza la mji Chake Chake.
Muwailishaji wa Mada
ya Kwanza Msham Abdalla Khamis, juu ya Historia ya Zanzibar kabla ya Mapinduzi
Matukufu ya mwaka 1964, kwa wajumbe wa mabaraza ya Vijana huko chake chake
kuelekea maadhimisho ya Mapinduzi ya Zanzibar.
VIONGOZI wa Mabaraza ya Vijana kutoka Kisiwani Pemba,
wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa kongamano la 6 kuelekea maadhimosho ya
Miaka 55 ya Mpinduzi Matukufu ya Zanzibar, huko katika ukumbi wa baraza la mji
Chake Chake.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
No comments:
Post a Comment