Habari za Punde

Michuano ya Kombe la Mapinduzi Kisiwani Pemba Kati ya Timu ya Chakechake na Wete.

Waziri wa Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Maudline Castico, akisalimiana na wachezaji wa Timu ya Chake Chake ya Mpira wa Wavu, ikiwa ni shamra shamra za Miaka 55 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Wete kuibuka na ushindi wa seti 3-2 dhidi ya Chake Chake
MCHEZAJI wa timu Wete Kushoto na Mchezaji wa Timu ya Chake Chake kulia wa mpira wa wavu, wakiruka juu kunyanganyiana mpira wakati wa mchezo maalumu wa mpira wa wavu, kuadhimisha miaka 55 ya Mapinduzi ya Matukufu ya Zanzibar, wete kuibuka na ushindi wa seti 3-2 dhidi ya Chake Chake
KIKUNDI cha ngoma ya Kituwa kutoka unguja kikitoa burudani ya ngoma ya utamaduni, wakati wa mchezo wa mpira wa wavu katika uwanja wa Tenisi Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.