Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa meza kuu wakiimba wimbo wa "Sisi Yote Tumegomboka" wakatika wa hafla ya Uzinduzi wa Barabara mpya ya kiwango cha lami kutoka Kijitoupele hadi Fuoni Mambosasa Wilaya ya Magharibi B Unguja. ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
MIRADI YA KIMKAKATI YA TANROADS INAUFUNGUA MKOA WA SONGWE-ENG BISHANGA
-
Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan
inaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo upanuzi wa
barabara kuu ya ...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment