Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa meza kuu wakiimba wimbo wa "Sisi Yote Tumegomboka" wakatika wa hafla ya Uzinduzi wa Barabara mpya ya kiwango cha lami kutoka Kijitoupele hadi Fuoni Mambosasa Wilaya ya Magharibi B Unguja. ikiwa ni shamrashamra za kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
WASIRA:TUNAWASHUKURU VIONGOZI WA DINI WAMETUTIA NGUVU UCHAGUZI MKUU
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV- Dodoma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema Chama
hicho kinawashukuru viongozi wa dini kw...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment