KATIBU
wa CCM Wilaya ya Wete Salim Khamis Haji (kushoto), akipokea hati ya kiwanja
kutoka kwa Mwana CCM Mzee Nassor Said Nassor wa Kivumoni Mtambwe, kwa ajili ya
ujenzi wa tawi la CCM Mtambwe.(PICHA NA
SAID ABDULRAHMAN,PEMBA)
MZEE
Nassor Said Nassor wa Kivumoni Mtambwe, akiongozana na viongozi wa CCM kwa
kuwaonesha mipaka ya kiwanja ambacho amekitoa kwa ajili ya ujenzi wa tawi la Chama
hicho huko Kivumoni Mtambwe Wilaya ya Wete.(PICHA
NA SAID ABDULRAHMAN, PEMBA)
MZEE
Nassor Said Nassor wa Kivumoni Mtambwe, akiongozana na viongozi wa CCM kwa
kuwaonesha mipaka ya kiwanja ambacho amekitoa kwa ajili ya ujenzi wa tawi la Chama
hicho huko Kivumoni Mtambwe Wilaya ya Wete.(PICHA
NA SAID ABDULRAHMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment