Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Masasi
mara baada ya kufungua kituo cha Afya cha Mbonde kilichopo Masasi mkoani
Mtwara.
Sehemu ya wakazi wa Masasi
wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.
John Pombe Magufuli wakati akihutubia mara baada ya kufungua kituo cha afya cha
Mbonde.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth
Magufuli pamoja na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, Waziri wa Afya Ummy
Mwalimu, Viongozi wa Mkoa wa Mtwara, wakati akikagua moja ya Wodi ya Wazazi
katika Kituo cha Afya cha Mbonde mara
baada ya kukifungua Masasi mkoani Mtwara.
Sehemu ya Wodi ya Wazazi
katika Kituo cha Afya cha Mbonde mara
baada ya kufunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.
John Pombe Magufuli Masasi mkoani Mtwara.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, Waziri
wa Afya Ummy Mwalimu, Viongozi wa Mkoa wa Mtwara, wakati akikagua chumba cha
upasuaji katika wodi ya Wazazi katika
Kituo cha Afya cha Mbonde Masasi mkoani Mtwara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth
Magufuli pamoja na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, Waziri wa Afya Ummy
Mwalimu, Viongozi wa Mkoa wa Mtwara akiangalia mashine ya kutoa dawa ya
usingizi kkwa wagonjwa katika chumba cha upasuaji kwa wa mama wajawazito.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa TAMISEMI
Selemani Jafo, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu katika picha ya pamoja na
wafanyakazi wa Kituo cha Afya cha Mbonde mara baada ya kukifungua.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungua mkono wananchi
hawaonekani pichani wakati akiondoka eneo la kituo cha Afya cha Mbonde.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanafunzi wa Shule
ya Sekondari Mikangaula iliyopo Nanyumbu mkoani Mtwara wakati akielekea Mangaka
kwenda kufungua barabara.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Nanyumbu
mara baada ya kuwasili kutoka Masasi kwa ajili ya kufungua barabara ya
Tunduru-Mangaka-Mtambaswala yenye jumla ya km202.5.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment