Wanchi wakiwa katika harakati za hapa na pale katika marikiti kuu ya darajani wakijipatia mahitaji yao ya utowezi ili kukamilisha futari katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani tukiwa katika kumi la tatu la mfungo tukielekea katika maandalizi ya kuadhimisha Sikukuu ya Eid Fitry, wiki ijayo.
Dkt.Jakaya Kikwete Ahutubia Mkutano wa Hadhari wa Kampeni ya Jimbo la
Welezo Zanzibar na Kuwanadi Wagombea wa Jimbo Hilo wa Chama Chsa Mapinduzi
(CCM)
-
Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dkt Jakaya Kikwete
akimtambulisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Wekezo Zanzibar wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) ...
14 hours ago
No comments:
Post a Comment