Wanchi wakiwa katika harakati za hapa na pale katika marikiti kuu ya darajani wakijipatia mahitaji yao ya utowezi ili kukamilisha futari katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani tukiwa katika kumi la tatu la mfungo tukielekea katika maandalizi ya kuadhimisha Sikukuu ya Eid Fitry, wiki ijayo.
MSAFARA WA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA 2025 WAANZA RASMI KUTOKA DAR ES SALAAM
-
Dar es Salaam, Julai 2, 2025
Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini
Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya ...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment