Wanchi wakiwa katika harakati za hapa na pale katika marikiti kuu ya darajani wakijipatia mahitaji yao ya utowezi ili kukamilisha futari katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani tukiwa katika kumi la tatu la mfungo tukielekea katika maandalizi ya kuadhimisha Sikukuu ya Eid Fitry, wiki ijayo.
CHAMA CHA MAWAKILI WA SERIKALI CHALAANI VURUGU,MAUAJI NA UHARIBIFU
-
Na Mwandishi Wetu
CHAMA Cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) kinalaani vurugu, mauaji, na
uharibifu wa mali vilivyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 202...
50 minutes ago

No comments:
Post a Comment