Wanchi wakiwa katika harakati za hapa na pale katika marikiti kuu ya darajani wakijipatia mahitaji yao ya utowezi ili kukamilisha futari katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani tukiwa katika kumi la tatu la mfungo tukielekea katika maandalizi ya kuadhimisha Sikukuu ya Eid Fitry, wiki ijayo.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment