Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, Aifariji na Kutowa Mkono wa Pole Kwa Familia ya Waziri wa Zamani wa SMZ Marehemu Ramadhan Abdalla Shan Alipofika Kijiji Kwao Uzini leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsalimia na kumfariji Mtoto wa Marehemu Ramadhan Abdalla Shaban, alipowasali katika Kijiji cha Uzini leo jioni kutowa Mkono wa Pole kwa Familia hiyo.baada ya kufiliwa na Mzazi wao wiki hii



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.