Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsalimia na kumfariji Mtoto wa Marehemu Ramadhan Abdalla Shaban, alipowasali katika Kijiji cha Uzini leo jioni kutowa Mkono wa Pole kwa Familia hiyo.baada ya kufiliwa na Mzazi wao wiki hii
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment