Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Tanzania Mhe. Hamad Yussuf Masauni na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Kamishna wa Polisi Zanzibar na Wananchi wa maeneo ya Zanzibar wakishiriki katika maziko ya Marehemu DCP wa Jeshi la Polisi Marehemu Azizi Juma Mohammed katika makaburi ya mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi B Unguja katika maziko hayo yaliofanyika baada ya Sala ya Adhuhuri.
Mamia ya Wananchi wa Zanzibar wakishiuriki katika maziko ya DCP wa Jeshi la Polisi
SERIKALI YAWAREJESHA WATANZANIA 42 KUTOKA NCHINI IRAN NA ISRAEL.
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanikiwa kuwarejesha salama
nchini Watanzania 42 kutoka nchini Israel na Iran kufuatia vita vilivyokuwa
viki...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment