Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Tanzania Mhe. Hamad Yussuf Masauni na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Kamishna wa Polisi Zanzibar na Wananchi wa maeneo ya Zanzibar wakishiriki katika maziko ya Marehemu DCP wa Jeshi la Polisi Marehemu Azizi Juma Mohammed katika makaburi ya mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi B Unguja katika maziko hayo yaliofanyika baada ya Sala ya Adhuhuri.
Mamia ya Wananchi wa Zanzibar wakishiuriki katika maziko ya DCP wa Jeshi la Polisi
DKT.SERERA:SERIKALI ITAENDELEA KUISAIDIA FCC KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA
UDHIBITI WA BIDHAA BANDIA
-
*Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani
Serera,akizungumza leo, Oktoba 16, 2025, wakati wa ziara ya pamoja kati ya
Menejimen...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment