Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Tanzania Mhe. Hamad Yussuf Masauni na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Kamishna wa Polisi Zanzibar na Wananchi wa maeneo ya Zanzibar wakishiriki katika maziko ya Marehemu DCP wa Jeshi la Polisi Marehemu Azizi Juma Mohammed katika makaburi ya mwanakwerekwe Wilaya ya Magharibi B Unguja katika maziko hayo yaliofanyika baada ya Sala ya Adhuhuri.
Mamia ya Wananchi wa Zanzibar wakishiuriki katika maziko ya DCP wa Jeshi la Polisi
VICTORIA FOUNDATION YAKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA SHULE 25 MKOANI GEITA.
-
Taasisi ya Victoria Foundation kwa kushirikiana na Orica Tanzania
inatekeleza mradi wa hatua kwa hatua uitwao Binti Ng'ara, kwa ajili ya
kumsaidia mtoto wa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment