Wananchi wa eneo la fuoni wakiwa katika zoezi la kubomoa Nyumba zao kupisha Utanizi wa barabara hiyo unaoazia katika barabara ya Fuoni hadi Kibonde mzungu kuunganishwa kwa dara hilo kuweka sawa eneo hilo na kuunganisha barabara inoyotokea Mwanakwerekwe.
Kama inavyoonekana picha zoezi hilo likiendelea kwa Wananchi wa eneo hilo kuaza kubomoa nyumba zao ili kupisha Ujenzi huo unaotarajiwa kuaza hivi karibuni
No comments:
Post a Comment