Mjumbe wa Kamati Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Ndg. Makongoro Nyerere akiondoa kipazia kuashiria Uwekeja wa Jiwe la Msingi la Maskani ya Makongoro Nyerere katika Kijiji cha Gando Kisiwani Pemba akiwa katika ziara yake.
Picha na Shaibu Kifaya Pemba.
No comments:
Post a Comment