Habari za Punde

Maadhimisho ya Siku ya Viwanja Vya Ndege Zanzibar.

WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Dkt Sira Ubwa Mwamboya, akiwapungua mkono wafanyakazi wa AAKIA Unguja, wakati wa maandamano maalumu ya kuadhimisha miaka nane ya mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar, huko katika uwanja wa Michezo Gombani
VIONGOZI wa Brasband ya Chipkizi Kisiwani Pemba, wakitoa heshima zao mbele ya mgeni Rasmi, wakati wa maandamano ya hiyari katika maadhimisho ya miaka nane ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar, huko katika uwanja wa Michezo Gombani
WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Dkt Sira Ubwa Mwamboya, akipatiwa maelezo kutoka kwa Slimu Said Abdalla, juu ya miongozo wanayoifuata katika uwanja huo, wakati alipotembelea maonyesho maalumu, wakati wa maadhimisho ya miaka nane ya mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar, huko katika uwanja wa Michezo Gombani.
WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Dkt Sira Ubwa Mwamboya, akipatiwa malezo juu ya mikataba inayofuatwa na uongozi wa Uwanja wa Ndege wa AAKIA Unguja kutoka kwa mkuu wa Ulinzi Haji Makame Haji, wakati wa maadhimisho ya miaka nane ya mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar, huko katika uwanja wa Michezo Gombani
WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Dkt Sira Ubwa Mwamboya, akipatiwa malezo juu ya utaratibu wa mgeni anapofika katika uwan jaw a Ndege na kupita katika eneo maalumu la Ukaguzi, kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha ulinzi uwanja wa Ndege wa AAKIA Haji Makame Haji, wakati wa maadhimisho ya miaka nane ya mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar, huko katika uwanja wa Michezo Gombani
WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Dkt Sira Ubwa Mwamboya, akipatiwa maeleozo juu ya vitu ambavyo abiria wakati wakusafiri hapaswi kupita navo katika uwanja wa Ndege, kutoka kwa mkuu wa idara ya Ulizi Haji Makame Haji wakati maadhimisho ya miaka nane ya mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar, huko katika uwanja wa Michezo Gombani
WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Dkt Sira Ubwa Mwamboya, akipatiwa zawadi maalumu kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa Mamlaka wa Viwanja vya Ndege Zanzibar, wakati wa maadhimisho ya miaka nane ya mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar, huko katika uwanja wa Michezo Gombani
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar Said Iddi, akizungumza wakati wa maadhimisho ya kutimiza miaka nane ya mamlaka ya viwanja vya ndege Zanzibar, huko katika uwanja wa michezo Gombani
WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Dkt Sira Ubwa Mwamboya, akizungumza n wananchi na wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Zanzibar, wakati wa maadhimisho ya kusheherekea miaka nane ya viwanja hivyo hiko katika uwanja wamichezop Gombani
WAZIRI wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Dkt Sira Ubwa Mwamboya, akimkabidhi zawadi mmoja ya wafanyakazi bora wa mamlaka ya viwanja vya Ndege Pemba, huko katika uwanja wa michzo Gombani
MKUU wa Mkoa wa Kakskazini Pemba Omra Khamis Othaman, akitoa neno la shukuran wakati wa maadhimisho ya miaka nane ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar, huko katika uwanja wamichezo Gombani.
Picha na Abdi Suleiman - Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.