Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz ala Mapinduzi Mhe,Dk Shein Afunga Maonesho ya Wiki ya Nne ya Viwanda ya SADC.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa Ufungaji wa Maonesho ya Nne ya Wiki ya Viwanda ya SADC,uliofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.