Habari za Punde

Washindi wa Wiki wa Kampeni ya MSAKO TIME Kupitia ZANTEL Wazawadiwa Zawadi Zao leo.

Meneja wa Wateja Maalum wa kampuni ya Zantel,Deogratias Shio (katikati ) akiwa na washindi wa wiki kupitia kampeni ya MSAKO TIME muda mfupi baada ya kuwakabidhi zawadi za simu janja ambazo wamejishindia 


Washindi wa MSAKO TIME wanapatikana baada ya kujibu maswali redioni au kuweka picha kwenye kurasa za Facebook na Instagram. Kampeni ya MSAKO TIME inawawezesha wateja kutumia intaneti kwa saa moja kila siku.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.