Mshambuliaji wa Timu ya Jangombe Boys.Yakoub Amour akijaribu kuzuia mpira na Beki wa Timu ya KMKM Hafidh Mohammed akijiandaa kumzuiya, wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa bao.1-0.
KATIBU MKUU CCM DK.MIGIRO AUNGURUMA DAR… ATOA MAELEKEZO UTOAJI MAELEKEZO
-
*Pia azungumzia nguvu ya wanachama walioko katika mashina,matawi
*Asisitiza nafasi ya wazee katika kutoa elimu ya itikadi kwa vijana
Na Said Mwishehe,...
29 minutes ago
0 Comments