Mshambuliaji wa Timu ya Jangombe Boys.Yakoub Amour akijaribu kuzuia mpira na Beki wa Timu ya KMKM Hafidh Mohammed akijiandaa kumzuiya, wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa bao.1-0.
RIDHIWANI -WANAFUNZI SOMENI KWA BIDII, ELIMU NDIO NGUO YA MAISHA
-
Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la
Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amewataka wanafunzi na vijana kuacha matumizi
maba...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment