Mshambuliaji wa Timu ya Jangombe Boys.Yakoub Amour akijaribu kuzuia mpira na Beki wa Timu ya KMKM Hafidh Mohammed akijiandaa kumzuiya, wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa bao.1-0.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment