Mshambuliaji wa Timu ya Jangombe Boys.Yakoub Amour akijaribu kuzuia mpira na Beki wa Timu ya KMKM Hafidh Mohammed akijiandaa kumzuiya, wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya KMKM imeshinda mchezo huo kwa bao.1-0.
Elimu : Tazama Hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2025
-
Maktaba: Picha kwa Hisani ya Gadiola Emanuel - Hady Class 7 Mwaka 2017
Bofya Hapa Kutazama Matokeo
MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2025
Wazal...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment