Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akisalimiana na Maafisa wa Jeshi la Magereza baada ya kufika katika Gereza la Kitai.Naibu Waziri yuko mkoani Ruvuma kutembelea shamba la gereza hilo ambalo ni moja kati ya mashamba kumi ya magereza nchini yaliyoteuliwa kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kutaka magereza yajitosheleze kwa chakula cha wafungwa.
MIRADI YA TASAF IMEACHA TABASAMU HALMASHAURI YA MERU
-
*Mkurugenzi Mtendaji amshukuru Rais Samia miradi 66 ikitelelezwa
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog
HALMASHAURI ya Meru mkoani Arusha imetoa shukrani kwa Serika...
30 minutes ago
0 Comments