Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akisalimiana na Maafisa wa Jeshi la Magereza baada ya kufika katika Gereza la Kitai.Naibu Waziri yuko mkoani Ruvuma kutembelea shamba la gereza hilo ambalo ni moja kati ya mashamba kumi ya magereza nchini yaliyoteuliwa kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kutaka magereza yajitosheleze kwa chakula cha wafungwa.
ZAIDI YA WAGENI 140 KUTOKA MATAIFA MBALIMBALI WATEMBELEA HIFADHI YA KILWA
KISIWANI
-
Na Mwandishi Wetu, Lindi
HIFADHI ya Urithi wa Utamaduni wa Dunia ya Magofu ya Kale ya Kilwa Kisiwani
na Songo Mnara wilayani Kilwa imeendelea kuwa kivu...
19 minutes ago

No comments:
Post a Comment