Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akisalimiana na Maafisa wa Jeshi la Magereza baada ya kufika katika Gereza la Kitai.Naibu Waziri yuko mkoani Ruvuma kutembelea shamba la gereza hilo ambalo ni moja kati ya mashamba kumi ya magereza nchini yaliyoteuliwa kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kutaka magereza yajitosheleze kwa chakula cha wafungwa.
MADEREVA WA MAGARI WAELIMISHWA KUHUSU USALAMA WA BARABARANI
-
Na Albert Kawogo
MADEREVA wanaotumia barabara ya Bagamoyo kuelekea mikoa ya kaskazini ya
Tanzania wametakiwa kuwa makini katika kufuata sheria za usalama...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment