MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzia na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwenyekiti wa
CCM Wilaya ya Dimani Kichama Ndg.Hussein Ali Mgema (Kimti) kushoto Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar. Dr, Abdalla Juma Sadala, wakati akiwasili katika viwanja
vya Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani kwa ajili ya mkutano wake na Wazee wa CCM
wa Wilaya ya Dimani leo 17-11-2019
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasalimia Wananchi wakati
akiwasili katika viwanja vya Afisi ya
CCM Mkoa wa Mjini Amaniu Zanzibar leo 17-11-2019 kuzungumza na Wazee wa Wilaya
ya Dimani Kichama
KATIBU
wa CCM Wilaya ya Dimani Ndg.Yussuf Ramadhani Abdalla akiwasilisha Taarifa fupi
ya Wazee wa CCM, wakati wa mkutano wao na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjiniu Amani
MAKAMU
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa Taarifa ya Wazee wa Wilaya ya
Dimani Kichana na Katibu wa CCM Wilaya ya Dimani Ndg. Yussuf Ramadhani Abdalla
na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr, Abdalla Juma Sadala
Mabodi wakati wa hafla ya mkutano wake na Wazee uliofanyika leo 17-11-2019
katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani
NAIBU
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr, Abdalla Juma Sadala Mabodi akizungumza wakati
wa hafla ya mkutano na Wazee wa CCM Wilaya ya Dimani Kichama uliofanyika katika
ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini
Amani Zanzibar
MAKAMU
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe.Dk.
Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wazee wa CCM wa Wilaya ya Dimani Kichama katika
ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar, (kushoto kwa Rais)Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM Wilaya
ya Dimani Kichama Ndg.Hussein Ali Mgema
////WAZEE
wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Dimani Kichama wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati wa mkutano huo
uyliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar
No comments:
Post a Comment