Habari za Punde

Kituo cha Watoto Yatima cha Samael Academy Pemba Wakabidhiwa Msaada


Mkurugenzi wa Taasisi ya Samael Academy Pemba akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe kutoka Nchini Oman, walipofika kutembelea Kituo cha Watoto Yatima na kukabidhi msaada wa fedha kwa ajili ya kituo hicho.
Picha kwa Hisani ya Taasisi ya Samael Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.