TUMEKUWA tukishudia kwa muda mrefu mchezo wa bao ukichezwa sana na wanaume, lakini katika miaka ya hivi karibuni mambo yamebadilika mchezo huo hata wanawake wanacheza, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)
Dkt.Doriye Aongoza Hafla ya Kuvisha Vyeo Maafisa na Askari wa NCAA
-
*DKT. DORIYE AVISHA VYEO VYA KIJESHI MAAFISA 145 NA ASKARI 476 WA NCAA NA
KUSISITIZA UCHAPAKAZI, NIDHAMU, MAADILI NA UZALENDO KATIKA ULINZI WA
RASIL...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment