TUMEKUWA tukishudia kwa muda mrefu mchezo wa bao ukichezwa sana na wanaume, lakini katika miaka ya hivi karibuni mambo yamebadilika mchezo huo hata wanawake wanacheza, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)
VYUO VYA AFYA VYASHAURIWA KUONGEZA UDAHILI WA WANAFUNZI WA KINYWA NA MENO
-
LICHA ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika sekta ya afya,
Tanzania bado inakabiliwa na upungufu mkubwa wa wataalamu wa kinywa na
meno, huku ik...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment