TUMEKUWA tukishudia kwa muda mrefu mchezo wa bao ukichezwa sana na wanaume, lakini katika miaka ya hivi karibuni mambo yamebadilika mchezo huo hata wanawake wanacheza, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA)
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment