Habari za Punde

Usajili wa laini za simu ukiendelea

LICHA ya kuongezwa kwa siku 20 za nyongeza kwa ajili ya usajili walaini za simu za mkononi nchini Tanzania, wananchi wamehamasika kwa wingi kusajili laini zao katika miemvuli mbali mbali katika mji wa chake chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.