Upanuzi
wa Barabara ya Morogoro kwa njia nane kuanzia Kimara –Kibaha unaendelea kwa
kasi kubwa kama inavyoonekana pichani katika maeneo ya Kimara, Mbezi na Kibamba
hivyo kuanza kupunguza msongamano mkubwa wa magari katika barabara hiyo ya
Morogoro. Picha na Ikulu
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
13 hours ago





No comments:
Post a Comment