Upanuzi
wa Barabara ya Morogoro kwa njia nane kuanzia Kimara –Kibaha unaendelea kwa
kasi kubwa kama inavyoonekana pichani katika maeneo ya Kimara, Mbezi na Kibamba
hivyo kuanza kupunguza msongamano mkubwa wa magari katika barabara hiyo ya
Morogoro. Picha na Ikulu
Elimu : Zaidi ya Washiriki 1,500 Kushiriki Kongamano la 18 la Kimataifa la
eLearning Africa
-
ZAIDI ya washiriki 1,500 wakiwemo mawaziri wa elimu kutoka zaidi ya nchi 50
za Afrika wanatarajiwa kushiriki katika Kongamano la 18 la Kimataifa la
eLear...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment