Upanuzi
wa Barabara ya Morogoro kwa njia nane kuanzia Kimara –Kibaha unaendelea kwa
kasi kubwa kama inavyoonekana pichani katika maeneo ya Kimara, Mbezi na Kibamba
hivyo kuanza kupunguza msongamano mkubwa wa magari katika barabara hiyo ya
Morogoro. Picha na Ikulu
NDEJEMBI ATAKA EWURA KUKAGUA MAGHALA YA MAFUTA KUHAKIKISHA HAKUNA MAFUTA
YANAYOFICHWA
-
Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata
huduma muda wote
Timu maalum kuundwa kufuatilia uingizaji wa mafuta nchini
WA...
2 hours ago




0 Comments