Upanuzi
wa Barabara ya Morogoro kwa njia nane kuanzia Kimara –Kibaha unaendelea kwa
kasi kubwa kama inavyoonekana pichani katika maeneo ya Kimara, Mbezi na Kibamba
hivyo kuanza kupunguza msongamano mkubwa wa magari katika barabara hiyo ya
Morogoro. Picha na Ikulu
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
1 hour ago




0 Comments