Habari za Punde

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI APOKEA HATI ZA MABALOZI 9 WANAOWAKILISHA NCHI ZAO HAPA NCHINI KATIKA HAFLA FUPI ILIYOFANYIKA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ureno hapa nchini mwenye makazi yake nchini Msumbiji  Maria Amelia Maio De PAIVA katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Singapore hapa nchini mwenye makazi yake Singapore Douglas Foo Peow Yong mara baada ya kuwasilishha Hati zake za utambulisho
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Singapore hapa nchini mwenye makazi yake Singapore Douglas Foo Peow Yong mara baada ya kuwasilishha Hati zake za utambulisho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ufilipino hapa nchini mwenye makazi yake nchini Kenya Alex Chua katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.