Habari za Punde

Inna liyllahi wainna ilayhi rajioun - Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar Mkusa Isack Sepetu Afariki Dunia na Kuzikwa leo Kijijini Kwao Mbuzini Wilaya ya Magharibi "A"Unguja


Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar,Mhe Jaji  Mkusa Isack Sepetu amefariki dunia asubuhi ya leo katika hospitali ya Mnazi Mmoja alipokuwa akipatiwa matibabu.

Maziko yatafanyika leo Kijiji kwa Mbuzini  Wilaya ya Magharibi "A" Unguja  majira ya saa kumi jiuoni leo 
Marehemu Jaji Sepetu anatarajiwa kuzikwa leo saa 10 jioni kijijini kwao Mbuzini.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.