Naibu Waziri wa Madini, Mhe.Stanslaus Nyongo,
akizungumza na wahariri wa Vyombo vya Habari Nchini (pichani), leo katika Ofisi
ndogo za Wizara hiyo Jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano mkubwa Wa Madini
utakaofanyika katika Kituo cha Mikutano Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam,
Tanzania kuanzia Februari 21 hadi 23,2020.
Simbu takes Tanzania's first global title with marathon victory in Tokyo
-
Alphonce Felix Simbu made history on Monday (15), becoming the first
athlete from Tanzania to win a global title by claiming gold in the men's
ma...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment