Naibu Waziri wa Madini, Mhe.Stanslaus Nyongo,
akizungumza na wahariri wa Vyombo vya Habari Nchini (pichani), leo katika Ofisi
ndogo za Wizara hiyo Jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano mkubwa Wa Madini
utakaofanyika katika Kituo cha Mikutano Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam,
Tanzania kuanzia Februari 21 hadi 23,2020.
Timu ya MSLAC yatoa Elimu ya ukatili kwa wanafunzi 700 Mtukula Missenyi
-
Na Diana Byera,Missenyi
Zaidi wa wanafunzi 700 wa shule ya sekondari Mtukula Wamepewa Elimu ya
kuwasilisha na kurepoti matukio ya ukatili katika madawati...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment