Naibu Waziri wa Madini, Mhe.Stanslaus Nyongo,
akizungumza na wahariri wa Vyombo vya Habari Nchini (pichani), leo katika Ofisi
ndogo za Wizara hiyo Jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano mkubwa Wa Madini
utakaofanyika katika Kituo cha Mikutano Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam,
Tanzania kuanzia Februari 21 hadi 23,2020.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment