Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua Utoaji wa Cheti cha Uhalisia kwa Madini ya Bati kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha cheti baada ya kuzindua utoaji wa cheti cha uhalisia kwa Madini ya Bati kwenye ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020. Kulia ni Spika wa Bunge Job Ndugai, wa pili kushoto ni Waziri wa Madini Doto Biteko na kushoto ni Waziri wa Nchi Anayeshughulikia Maendeleo ya Madini wa Uganda, Sarah Opendi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama vito vilivyotokana na madini ya Tanzanite wakati alipotembelea banda la kampuni ya GEM TANZANITE LIMITED katika maonesho yaliyokwenda sambamba na Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Katika Sekta ya Madini Tanzania wa Mwaka 2020 ulioufungwa na Waziri Mkuu kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020. Wa pili kushoto ni Waziri wa Madini, Doto Biteko na watatu kulia ni Spika wa Bunge, Job Ndugai.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama madini wakati alipotembelea banda la kampuni ya Kisangani Smith Group ya mkoani Njombe katika maonesho yaliyokwenda sambamba na Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Katika Sekta ya Madini Tanzania wa Mwaka 2020 ulioufungwa na Waziri Mkuu kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020. Kushoto ni Waziri wa Madini, Doto Biteko na watatu kushoto ni Spika wa Bunge, Job Ndugai.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama vito vilivyotokana na madini ya Tanzanite wakati alipotembelea banda la kampuni ya GEM TANZANITE LIMITED katika maonesho yaliyokwenda sambamba na Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Katika Sekta ya Madini Tanzania wa Mwaka 2020 ulioufungwa na Waziri Mkuu kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020. Wa pili kushoto ni Waziri wa Madini, Doto Biteko na watatu kulia ni Spika wa Bunge, Job Ndugai.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama madini wakati alipotembelea banda la kampuni ya Kisangani Smith Group ya mkoani Njombe katika maonesho yaliyokwenda sambamba na Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Katika Sekta ya Madini Tanzania wa Mwaka 2020 ulioufungwa na Waziri Mkuu kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020. Kushoto ni Waziri wa Madini, Doto Biteko na watatu kushoto ni Spika wa Bunge, Job Ndugai.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji Katika Sekta ya Madini Tanzania wa mwaka 2020 kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Februari 23, 2020.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment