Mwakilishi Mkaazi Wa Shirika La Afya Duniani (Who) Zanzibar Dkt. Andemichael Ghirmay akiukaribisha ujumbewa wa UN kwa Waziri wa Afya Zanzibar walipofika Ofisini kwake pamoja na kutoa maelezo kuhusu juhudi zinazochukuliwa na Serikali katika kuimarisha huduma za Afya Zanzibar.
Siasa : Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan 
alivyopiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
                      -
                    
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) 
M...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment