Mwakilishi Mkaazi Wa Shirika La Afya Duniani (Who) Zanzibar Dkt. Andemichael Ghirmay akiukaribisha ujumbewa wa UN kwa Waziri wa Afya Zanzibar walipofika Ofisini kwake pamoja na kutoa maelezo kuhusu juhudi zinazochukuliwa na Serikali katika kuimarisha huduma za Afya Zanzibar.
Elimu : Zaidi ya Washiriki 1,500 Kushiriki Kongamano la 18 la Kimataifa la
eLearning Africa
-
ZAIDI ya washiriki 1,500 wakiwemo mawaziri wa elimu kutoka zaidi ya nchi 50
za Afrika wanatarajiwa kushiriki katika Kongamano la 18 la Kimataifa la
eLear...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment