Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar na kutowa tahadhari kwa Wananchi na Jamii kwa kuhusiana na Virusi vya maradhi ya Corona, wafuate maelekezo ya kujikinga na kuepusha mikusanyiko isiyo kuwa ya lazima.
WASIRA:TUNAWASHUKURU VIONGOZI WA DINI WAMETUTIA NGUVU UCHAGUZI MKUU
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV- Dodoma
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema Chama
hicho kinawashukuru viongozi wa dini kw...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment