Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar na kutowa tahadhari kwa Wananchi na Jamii kwa kuhusiana na Virusi vya maradhi ya Corona, wafuate maelekezo ya kujikinga na kuepusha mikusanyiko isiyo kuwa ya lazima.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment