Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar na kutowa tahadhari kwa Wananchi na Jamii kwa kuhusiana na Virusi vya maradhi ya Corona, wafuate maelekezo ya kujikinga na kuepusha mikusanyiko isiyo kuwa ya lazima.
Kampuni ya Haier yazindua bidhaa za viyoyozi (AC) jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya mabingwa wa vifaa vya kielektroniki Haier wamefanya mkutano wa
uzinduzi wa bidhaa za viyoyozi (AC) katika ukumbi wa Hyatt regency, the
kilimanja...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment