Habari za Punde

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar Atowa Tahadhari Kwa Wananchi Kuhusiana na Virusi Vya Corona Wakati Akizungumza na Waandishi wa Habari.


Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar na kutowa tahadhari kwa Wananchi  na Jamii kwa kuhusiana na Virusi vya maradhi ya Corona, wafuate maelekezo ya kujikinga na kuepusha mikusanyiko isiyo kuwa ya lazima.



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.