Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar na kutowa tahadhari kwa Wananchi na Jamii kwa kuhusiana na Virusi vya maradhi ya Corona, wafuate maelekezo ya kujikinga na kuepusha mikusanyiko isiyo kuwa ya lazima.
WANAFUNZI ST. MARY'S WASHIRIKI IBADA YA SHUKRANI, WAMKUMBUKA MAMA RWAKATARE
-
*Mkurugenzi wa shule za St. Mary's nchini Dkt. Rose Rwakatare akizungumza
mara baada ya kumalizika kwa misa ya shukrani iliyofanyika katika kanisa la
M...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment