Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar na kutowa tahadhari kwa Wananchi na Jamii kwa kuhusiana na Virusi vya maradhi ya Corona, wafuate maelekezo ya kujikinga na kuepusha mikusanyiko isiyo kuwa ya lazima.
Tuzo : NCAA Yajivunia Tuzo ya Kimataifa
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw.
Abdul-Razaq Badru kupitia mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika jijini
Ar...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment