Habari za Punde

Mradi wa Uwekaji Taa Katika Barabara za Mkoani Wete na Chakechake Pemba Ukiendelea

Mradi wa uwekaji wa Taa za barabarani katika  barabara  mbalimbali za Mkoani, Chakechake na Wete Pemba ukiendelea na uwekaji wa taa hiuzo kama wanavyoonekana Mafundi wa Kampuni ya Osaju Ltd, wakiendelea na zoezi hilo la uwekaji wa taa hizo katika Wilaya ya Mkoani eneo la barabara ya Changawini Mkoni Pemba.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.