Habari za Punde

Mradi wa ZSSF Ujenzi wa Hoteli ya Mkoani Pemba Wakamilika Kwa Asilimia Kubwa.

Muonekano wa Mpya wa Hoteli ya Mkoani baada ya kufanyika matengenezo makubwa kubadilisha  ujenzi wa awali na kuongeza ghorofa kupitia Mradi huo wa ZSSF. Kama inavyoonekana pichani ikiwa katika hatua za mwisho za ujenzi huo, kukamilika kwake na kutowa huduma kwa Wageni wanaofika Kisiwani Pemba.


Muonekano Mpya wa Hoteli ya Mkoani kwa nyumba baada ya kukamiulika matengenezo ya ujenzi huo .
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.