Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza masuala mbalimbali yanayohusu wakimbizi na Mwakilishi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini, Antonio Canhandula (kulia), wakati mwakilishi huyo alivyofika ofisini kwa waziri, jijini Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akimsindikiza Mwakilishi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini, Antonio Canhandula (kulia), baada ya kumaliza mazungumzo mbalimbali yaliyohusu wakimbizi wakati mwakilishi huyo alivyofika ofisini kwa waziri, jijini Dodoma.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
No comments:
Post a Comment