Mhe.Ambar Haji Khamis kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake ili kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar . amesema endapo chama kitampa ridhaa ya kuwa mgombea na hatimae kushinda urais ZNZ atahakikisha anarudisha mchakato wa Katiba Mpya.
Viongozi wa Dini Watoboa Siri: Ndoa za Utotoni Zazidi Kushamiri Vijijini
Licha ya Sheria
-
Dar es Salaam, Machi 28, 2026 — Viongozi wa dini nchini wameeleza wasiwasi
wao kuhusu kuendelea kwa ndoa za utotoni, wakibainisha kuwa changamoto ya
uelewa...
8 hours ago

0 Comments