Mhe.Ambar Haji Khamis kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake ili kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar . amesema endapo chama kitampa ridhaa ya kuwa mgombea na hatimae kushinda urais ZNZ atahakikisha anarudisha mchakato wa Katiba Mpya.
Kuhitimisha zaiara zake za kuwatembelea wagonjwa katika mikoa yote unguja
na pemba
-
Na.Mwandishi OMWR.
Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman, amesema
kwamba amewataka viongozi wa chama hicho katika ngazi mbali...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment