Mhe.Ambar Haji Khamis kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama chake ili kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar . amesema endapo chama kitampa ridhaa ya kuwa mgombea na hatimae kushinda urais ZNZ atahakikisha anarudisha mchakato wa Katiba Mpya.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment