Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Juni 16,2020 ameshiriki Shughuli ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuhitimisha Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bungeni Jijini Dodoma.
Serikali Yazidisha Upatikanaji wa Nishati, Umeme, Gesi na Mafuta
Kufanikisha Maendeleo ya Taifa
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Katika hotuba yake ya mapito na mwelekeo wa kazi za Serikali kwa mwaka
2026/27 iliyowasilishwa leo Bungeni, Waziri Mku...
22 minutes ago
0 Comments