Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Juni 16,2020 ameshiriki Shughuli ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuhitimisha Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bungeni Jijini Dodoma.
NANDI KUUNGA MKONO NEMBO YA MADE IN TANZANIA AHAIDI KUITUMIA KWENYE BIDHAA
NA MZIKI WAKE
-
Msanii wa muziki wa kizazi Kipya, Faustina Charles Mfinanga, maarufu kwa
jina la Nandy, ameonyesha dhamira ya dhati ya kuiunga mkono nembo ya 'Made
in Tanz...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment