Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Ujenzi Eng.
IsackKamwelwe pamoja na viongozi mbalimbali akiweka jiwe la Msingi Ujenzi wa
Mahandaki ya Reli yatakayopitisha Treni ya Kisasa ya Umeme Standard Gauge
katika eneo la Kilosa mkoani Morogoro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na viongozi
mbalimbali mara baada ya kuweka jiwe la msingi Ujenzi wa Mahandaki ya Reli
yatakayopitisha Treni ya Umeme Standard Gauge katika eneo la Kilosa mkoani
Morogoro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Ujenzi Eng.
IsackKamwelwe pamoja na viongozi mbalimbali akiweka jiwe la msingi Ujenzi wa
Barabara ya Dumila-Kilosa-Mikumi sehemu ya Rudewa-Kilosa Km 24 katika sherehe
zilizofanyika katika eneo la Kilosa mkoani Morogoro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na baadhi ya Mawaziri,
wakuu wa Mikoa,viongozi mbalimbali, akikata utepe ili kuzindua mitamboitakayotumika
katika ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR katika eneo la Kilosa mkoani Morogoro.
Sehemu ya Handaki kubwa lenye urefu wa
Kilometa 1.1 ambalo litapitishatreni hiyo katika eneo la milima ya Kilosa
mkoani Morogoro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipitandani ya Handaki kubwa lenye urefu wa kilometa 1.1 kulikagua mara baada ya kuweka jiwe la msingi la miradi hiyo ya ujenzi Kilosa mkoani Morogoro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mawaziri, baadhi ya Viongozi wa
Serikali, katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wa Kampunizinazojenga mradi wa
Reli ya Kisasa SGR Kilosa mkoani Morogoro.
PICHA NA IKULU.
No comments:
Post a Comment