RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.
akikagua gwaride maalum la Kikosi cha FFU katika viwanja vya Baraza la
Wawakilishi Chukwani Jijini Zanzibar leo, 20-6-2020, wakati wa hafla ya
uvunjaji wa Baraza la Wawakilishi leo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akia
amesimama wakati ukipingwa wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki kabla ya kuaza
kwa Mkutano wa uvunjaji wa Baraza la Wawakilishi (kulia kwa Rais) Mama
Mwanamwema Shein na (kushoto kwa Rais) Spika wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar.Mhe. Zuberi Ali Maulid
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akihutubia katika Mkutano wa Baraza la
Tisa la Wawakilishi kabla ya kulivunja rasmin leo katika ukumbi wa
mkutano wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Jijini Zanzibar. hafla hiyo
imefanyika leo
WAJUMBE wa
Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
akilihutubia kabla ya kulivunja rasmin leo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi
wa mkutano wa Baraza.
WAZIRI
Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge
la Tanzania.Mhe Job Ndugai na Jaji Mkuu wa Zanzibar. Mhe. Omarv Othman Makungu
wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo ;pichani) wakati akilihutubia Baraza la
Wawakilishi na kulivunja rasmin leo 20/6/2020, mkutano huo umefanyika katika
ukumbi wa Baraza Chukwani Jijini Zanzibar.
WAJUMBE
wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wa kwanza Mhe. Jaku Hashim Ayoub akiwa na
wajumbe wakishangilia wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia hafla hiyo ya
uvunjaji wa Baraza la Wawakilishi uliofanyika leo katika ukumbi wa mkutano
Chukwani Jijini Zanzibar
MAKAMU
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar. Mhe Said Hassan Said na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed, wakifuatilia hutuba ya uvunjaji
wa Baraza la Tisa la Wawakilishi wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia kabla
ya kulivunja Baraza leo katika ukumbi wa Baraza Chukwanin Jijini Zanzibar
WAJUMBE wa
Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
akilihutubia kabla ya kulivunja rasmin leo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi
wa mkutano wa Baraza.
WAJUMBE wa
Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
akilihutubia kabla ya kulivunja rasmin leo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi
wa mkutano wa Baraza.
WAJUMBE wa
Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani)
akilihutubia kabla ya kulivunja rasmin leo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi
wa mkutano wa Baraza.
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akilihutubia kabla ya kulivunja rasmin leo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa mkutano wa Baraza.(Picha na Ikulu)
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akilihutubia kabla ya kulivunja rasmin leo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa mkutano wa Baraza.
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akilihutubia kabla ya kulivunja rasmin leo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa mkutano wa Baraza.
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akilihutubia kabla ya kulivunja rasmin leo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa mkutano wa Baraza.
BAADHI
ya Mabalozi Wadogo Wanaofanyika Kazi zao Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein,(hayupo pichani) akihutubia na kulivunja rasmin Baraza la Tisa la
Wawakilishi Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa mkutano wa Baraza
Chukwani Jijini Zanzibar
WAGENI
Waalikwa kutoka Taasisi ya Fedha Zanzibar wakifuatila hutuba ya Uvunjaji rasman
wa Baraza la Tisa la Wawakilishi wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akihutubia na
kulivunja rasmin Baraza leo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akikabidhiwa zawadi ya Kitabu Maalum cha
Miswada ya Sheria na Picha ya Jengo la Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid, baada ya
hafla ya kulivunja rasmin Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar, hafla hiyo imefanyika
katika ukumbi wa Baraza Chukwanin Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akikabidhiwa zawadi Maalum ya Kitabu cha Miswada ya Sheria iliyopitishwa na
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Mhe. Zuberi Ali Maulid baada ya kumalizika kwa mkutano wa uvunjaji wa Baraza la
Wawakilishi uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Baraza
No comments:
Post a Comment