Habari za Punde

Wakulima wa Mwani Kaskazini Unguja wakabidhiwa vihori

 WAZIRI wa Kilimo, Maliasili  Mifugo na Uvuvi, Mmanga Mjengo Mjawiri, wa pili (kulia) akikibidhi vihori, kwa wakulima wa zao la mwani  Mkoa wa Kaskazini Unguja,  ikiwa ni ahadi ya Serikali kuwasaidia wakulima hao  ili waeze kulima mwani wenye ubora katika maji ya bahari  kina kirefu  (PICHA NA ABDALLA OMAR).
  MKUU wa Wilaya ya Kaskazini ‘A’ Unguja, Hassan Ali Kombo, akitoa nene la shukurani kwa Serikali, baada ya kukabidhi vihori kwa wakulima wa zao la mwani wa Mkoa wa Kaskazini Unguja (PICHA NA ABDALLA OMAR).  

Wakulima wa mkoa wa Kaskazini Unguja wakiangalia vihori ambavyo walikabidhiwa na WAZIRI wa Kilimo, Maliasili  Mifugo na Uvuvi, Mmanga Mjengo Mjawiri
WAZIRI wa Kilimo, Maliasili Mifugo na Uvuvi, Mmanga Mjengo Mjawiri, akizungumza na wakulima wa zao la mwani baada ya kukabidhi vihori, kwa wakulima wa Bweleo  (PICHA NA ABDALLA OMAR).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.