Waziri Kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha akisalimiana na Katibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo wakati akirudisha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM leo
Katibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo akipokea na kuzikagua fomu za Waziri Kiongozi mstaafu , Shamsi Vuai Nahodha
Waziri Kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha akizungumza na wanahabari baada ya kurudisha fomu za kugombea Urais kupitia CCM leo
PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA KITUO KIPYA CHA MAFUTA MKOA WA SINGIDA
-
Na Mwandishi Wetu
Puma Energy Tanzania imezindua rasmi kituo chake kipya cha mafuta katika
Mkoa wa Singida, hatua inayoonyesha dhamira yake ya kupanua up...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment