Waziri Kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha akisalimiana na Katibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo wakati akirudisha fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM leo
Katibu wa Idara ya Oganizeshi ya CCM Zanzibar Ndg. Galoso Nyimbo akipokea na kuzikagua fomu za Waziri Kiongozi mstaafu , Shamsi Vuai Nahodha
Waziri Kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha akizungumza na wanahabari baada ya kurudisha fomu za kugombea Urais kupitia CCM leo
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment