Goli La kwanza la Timu ya Selemu likiingia wavuni baada ya kipa wa Timu ya Jangombe Boys kushindwa kuizuia shuti hiyo na kuanduika bao la kwanza kwa Timu ya Selemu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong, katika mchezo huo Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
GGML, OSHA WAWANOA MAMA LISHE ARUSHA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
-
Na Mwandishi Wetu, Arusha
KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa
Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), imetoa mafunzo...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment