Goli La kwanza la Timu ya Selemu likiingia wavuni baada ya kipa wa Timu ya Jangombe Boys kushindwa kuizuia shuti hiyo na kuanduika bao la kwanza kwa Timu ya Selemu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong, katika mchezo huo Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
Taasisi na Jumuiya Binafsi Nchini Kuendelea Kuwasaidia na Kusimamia Watu Wenye Ulemavu.
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizungumza
na Uongozi wa Jumuiya ya Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (ZAPDD) wa akili
uliofika...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment