Goli La kwanza la Timu ya Selemu likiingia wavuni baada ya kipa wa Timu ya Jangombe Boys kushindwa kuizuia shuti hiyo na kuanduika bao la kwanza kwa Timu ya Selemu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong, katika mchezo huo Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
TEA, UNICEF NA MAPINDUZI YA SAYANSI MASHULENI - SONGWE.
-
Afisa miradi kutoka TEA Bi. Atugonza David akikagua maabara ya Sayansi
Shule ya Sekondari Itumba ambayo imekarabatiwa na kumaliziwa ujenzi na TEA
kwa kush...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment