Goli La kwanza la Timu ya Selemu likiingia wavuni baada ya kipa wa Timu ya Jangombe Boys kushindwa kuizuia shuti hiyo na kuanduika bao la kwanza kwa Timu ya Selemu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong, katika mchezo huo Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
DIRA 2050 YA TANZANIA TUITAKAYO IMEKAMILIKA,RAIS SAMIA KUIZINDUA JULAI 17
-
*Dk.Samia aingia katika historia ya kuandika dira isiiyokuwa na muelekeo wa
Itikadi ya Chama
*Profesa Mkumbo ataja hatua kwa hatua jinsi mchakato ulivyo...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment