Habari za Punde

BODI YA MIKOPO YAWAPIGA MSASA WANAFUNZI WILAYA ZA KIBONDO NA KASULU MKOANI KIGOMA

Maafisa wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), (kulia) Meneja Mikopo Kanda ya Ziwa, Usama Choka na Afisa Mikopo Winfrida Wumbe pamoja na Jonathan Nkwambi (kushoto) wakizungumza na Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Wasichana Kibondo iliyopo Mkoani Kigoma, Mary…….. walipofika shuleni hapo jana alhamisi (Julai 30,2020) kutoa elimu kuhusu mwongozo wa uombaji mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.
Afisa Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Winfrida Wumbe akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Wasichana Kibondo iliyopo Mkoani Kigoma, wakati wa utoaji elimu ya mafunzo kuhusu mwongozo wa uombaji mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Mafunzo hayo yalifanyika Shuleni 
Afisa Mikopo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Winfrida Wumbe akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Wasichana Kibondo iliyopo Mkoani Kigoma, wakati wa utoaji elimu ya mafunzo kuhusu mwongozo wa uombaji mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Mafunzo hayo yalifanyika Shuleni 
Mwanafunzi wa Kidato cha Sita katika Shule ya Sekondari Wasichana Kibondo iliyopo Mkoani Kigoma, Mwanakombo Abeid akiuliza swali wakati wa utoaji elimu ya mafunzo kuhusu mwongozo wa uombaji mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Mafunzo hayo yalifanyika Shuleni.
Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Wasichana Mkugwa iliyopo Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma wakifuatilia kwa makini elimu ya mafunzo kuhusu matumizi ya mwongozo wa uombaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu wakati wa mafunzo hayo yaliyofanyika shuleni hapo jana Alhamisi Julai 30, 2020).
(PICHA NA BODI YA MIKOPO- HESLB)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.