RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa India Anayefanyia Kazi zake
Zanzibar Mhe. Baagwant Singh, alipowaili katika viwanja vya Kituo Cha Wanawake
cha (Barefoot College Zanzibar) Kinyasini Kibokwa Wilaya ya Kaskazini A”Unguja,
kuhudhuria Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Kituo Cha Wanawake cha Kutengeneza
Vifaa vya Nishati ya Umeme wa Jua hafla
hiyo imefanyika leo 8-8-2020
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiuliza maswali wakati akitembelea maonesho ya Vifaa vya Nishati ya Umeme wa
Jua wakati wa Maadhimisho ya Miaka Mitano ya Kituo cha Wanawake cha Kutengeneza
Vifaa Umeme wa Jua (Barefoot College Zanzibar) Kinyasini Wilaya ya
Kaskaziniu “A” Unguja leo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akipata maelezo ya utengenezaji wa Vifaa vya Umeme wa Jua kutoka kwa Bi. Kazija
Omar, Mewalimu wa Kituo cha Wanawake cha Kutengeneza Vifaa vya Nishati ya Umeme
wa Jua Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo 8/8/2020, kuadhimisha Miaka
Mitano ya Kituo hicho.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akipata maelezo ya Bidhaa zinazotengeneza na Wanawake wa Kituo hicho wakati
akitembelea maonesho hayo ya kuadhimisha Miaka Mitano Kituo cha Wanawake cha
Kutengeneza Vifaa vya Nishati ya Umeme wa Jua (Barefoot College Zanzibar)
kutoka kwa Bi. Brenda Geofrey.na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Kazi Uwezeshaji
Wazee Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe. Maudline Castico
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiangalia bidhaa aina ya asali zinazozalishwa na Kituo.wakati akipata maelezo kutoka kwa Ndg. Marisanga Waziri, alipokuwa akitembelea maonesho hayo ya kuadhimisha Miaka Mitano ya Kituo cha Wanawake cha Kutengeneza Vifaa vya Nishati ya Umeme wa Jua (Barefoot College Zanzibar) wakati wa maadhimisho ya Miaka Mitano ya Kituo hicho yaliofanyika Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akipata
maelezo kutoka kwa Ndg. Marisanga Waziri, jinsi ya kuiandaa Asali, inayozalishwa katika Kituo
cha Wanawake cha Kutengeneza Vifaa vya Nishati ya Umeme wa Jua (Barefoot
College Zanzibar) wakati wa maadhimisho ya Miaka Mitano ya Kituo hicho
yaliofanyika Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo
No comments:
Post a Comment