Muonekano wa Jengo la Kisasa la Maduka Michezani Mall Jijini Zanzibar likiwa katika hatua za mwisho umaliziaji ujenzi wake kwa ajili ya ufunguzi na kutowa huduma za kibiashara mbalimbali kwa Wananchi wanapofika katika jengo hilo litakalokuwa na maduka mbalimbali ya bidhaa tafauti.
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment