Muonekano wa Jengo la Kisasa la Maduka Michezani Mall Jijini Zanzibar likiwa katika hatua za mwisho umaliziaji ujenzi wake kwa ajili ya ufunguzi na kutowa huduma za kibiashara mbalimbali kwa Wananchi wanapofika katika jengo hilo litakalokuwa na maduka mbalimbali ya bidhaa tafauti.
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment