Meneja Uhusiano na
Huduma kwa walipakodi kutoka ZRB Shaaban Yahya Ramadhani, akitoa maelezo juu ya
mabadiliko mbali mbali ya sheria za kodi za bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), kwa
waandishi wa habari Kisiwani Pemba, mkutano uliofanyika katika Ofisi za Wizara
ya Fedha na Mipango Gombani
Meneja Uhusiano na
Huduma kwa walipakodi kutoka ZRB Shaaban Yahya Ramadhani, akielezea kwa mifano
hai juu ya mabadiliko ya sheria pamoja na wafanyabiashara kuifahamu namba ya
utambulisho (control Number) itakayowawezesha wafanyabiashara hao kulipa kodi
kwa urahisi, mkutano uliofanyika katika Ofisi za Wizara ya Fedha na Mipango
Gombani
Waandishi wa Habari
kutoka Vyombo mbali mbali vya habari Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini
uwasilishaji wa mabadiliko ya sheria za kodi za Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB),
mkutano uliofanyika katika ofisi za Wizara ya Fedha na Mipango Gombani
Mwandhishi wa Habari
kutoka Redio Jamii Micheweni Ali Massoud Kombo (aliyefunga mikono),
akimsikiliza kwa makini meneja Uhusiano na Huduma kwa walipakodi kutoka ZRB
Shaaban Yahya Ramadhani, akijibu swali lake juu ya mashuala ya mabadiliko ya
sheria za Bodi ya Mapato Zanzibar, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika
katika Ofisi za Wizara ya Fedha na Mipango Gombani.
Meneja wa Huduma Nyenginezo kutoka Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB)
Ofisi ya Pemba Abeid Omar Salim, akielezea kwa vitendo umuhimu kwa
wafanyabiashara kuifahamu namba ya utambulisho (control Number), wakati wa
mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika Ofisi za Wizara ya Fedha na
Mipango Gombani.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
No comments:
Post a Comment